J-FILM 4 LIFE ADVERT
JIPATIE FILAMU MPYA YA FAMILY WAR KUTOKA KWA JENNIFER KYAKA (ODAMA) -MWEZI UJAO ITAKUWA SOKONI
FILAMU YA CHOCOLATE IKO SOKONI-JIPATIE NAKALA YAKO
FILAMU YA HOUSE MAID IKO SOKONI JIPATIE NAKALA YAKO SASA
FILAMU KALI YA KITANZANIA-RUDE ILIYOSHEHENI WASANII WAKALI. FILAMU IMEANDALIWA NA JENNIFER KYAKA
Wednesday, November 7, 2012
BAADA YA FILAMU YA CHOCOLATE SASA NI ZAMU YA FAMILY WAR
J-Film 4 Life chini ya Mkurugenzi Jennifer Kyaka (Odama) sasa wanakuletea filamu mpya inayoitwa "Family War." Filamu hii itakuwa sokoni mwezi huu wa Novemba 2012 kwahiyo wadau na wapenzi wa filamu msikose kuangalia filamu hii, kwani utaelimika, utaburudika, utafundishwa na kuadabishwa.
J-Film 4 Life baada ya kukuletea filamu ambazo naamini ulishaziangalia kama Chocolate na House Maid na nyingine nyingi ambazo ni gumzo jijini Dar es Salaam, sasa imeona ikuletee filamu hii mpya yenye viwango vya kimataifa. Kama unavyojua J-Film 4 Life ni kampuni ambayo inatoa filamu za viwango vya juu sana.
Odama akiwa kwenye setting ya camera....akisubiri kufanya mambo yake.
Mambo yakiendelea kuiva
Odama akisubiria Action..............
Watu wakiwa kazini...bizeeeeee
Devie akifanya maajabu katika filamu ya Family War
Grace Mapunda akifanya mambo yake kwenye scene ya hospitali
Director Lamata (kulia) akitoa maelekezo kabla ya scene kuanza
Recho Saguda akiwa on set kabla ya scene kuanza.
Director Sajuki akitoa company kwa waigizaji wenzake kwenye scene za hospitali
Hakuna kitu kizuri kama upendo. Sajuki na mke wake Wastara wanaonyesha upendo kwa vitendo.
Umeona unywele....hayo ni mambo ya Family War
Slim akiwa on set
Cake haikuwa nyuma katika filamu hii
Kazi imepamba moto hospitalini, yaani ni balaa tupu...
Wakati mwingine usione fashion haya ni mambo ya Continuity...
Pozi kwa pozi....
Mlawa akitafakari script kabla ya scene kuanza
Nikipitia script kabla ya scene kuanza
Camera man Malik akiwajibika kazini...kuhakikisha kazi inaenda kama ilivyopangwa.
Tukipitia Script kabla ya scene kuanza
Tukisubiria action kuanza tufanye vitu vyetu.
Director akifuatilia scene kwa makini..
WADAU MSIKOSE KUNUNUA HII FILAMU.....ITAWAELIMISHA, ADIBISHA, KUFUNDISHA NA KUBURUDISHA.
Tuesday, November 6, 2012
JENNIFER KYAKA [ODAMA] APATA SHAVU KAMPUNI YA SUMSUNG
Kampuni ya Sumsung mara baada ya kuona kazi nzuri na zenye ubora zinazofanywa na kampuni ya J-FILM 4 LIFE inayomilikiwa na msanii wa filamu Tanzania Jennifer Kyaka (Odama) waliamua kumualika kwenye "event" ya kipekee iliyofanyika Golden Tulip jijini Dar es Salaam.
Nikiwa naingia Golden Tulip....full kujiachia
Odama akikabidhiwa coupon mara baada ya kuwasili katika hafla hiyo.
Duh si mchezo!!
Mawasiliano ndo kila kitu...
Hayo ndo mambo ya Sumsung bwana...
Hapo vipi..????
Bakari Makuka ndani ya Sumsung akitokelezea...
Watu wakiwa busy kupata utamu wa Sumsung...
Kitu cha Sumsung Tablet 10.1 kikiwa hewani...
Mmoja wa stuff wa Sumsung akimwaga sera
Ma-MC wa event......Bukuku (kushoto) na Jaji wa kipindi cha Tikisa ITV Sauda Simba (kulia)
MC Sauda Simba akifanya mambo yake
Kitu wine kikiniweka sawa...
Mtangazaji wa Clouds FM katika kipindi cha Leo Tena, Dina Marios akishushia kinywaji baridiiiiiii......
Msanii wa Bongo Fleva wa THT, Mwasiti akibadilishna mawazo na rafiki yake
DJ akipagawisha waalikwa ndani ya Golden Tulip.
THT wakijiachia wakati DJ akiwapa vitu vya Sumsung
DJ Fetty akiwashangaa watoto wa THT wakifanya maajabu ya Sumsang "...Dah watoto wa THT ni balaa...lazima niwarushe katika kipindi changu cha XXL Clouds FM"
Msanii wa Bongo Fleva Jafaray (kushoto) akitokelezea na rafiki yake kama Warrrrr...
Chezea dinner weyeeeeeee....kitu Sumsung
Kuna vyakula bora lakini hiki kimezidi!!!!!!
DJ Fetty na Jafaray wakitengeneza shavu kwa misosi yenye kiwango cha TBS
Umefika muda wa kwenda zangu home....
Baada ya event kuisha baadhi ya wahudum wa Sumsung wakibadilishana mawazo
FINITO
Subscribe to: Posts (Atom)
No comments:
Post a Comment