calvinpaul131@yahoo.com

Saturday, October 20, 2012


Friday, October 19, 2012

FROLAH MVUNGI ATOLEWA MAHARI NA KUVISHWA PETE NA H - BABA LEO

 
 
 Tukio la kihistoria linafanyika jumamosi ya leo katika hotel ya atriums pale  ambapo wasanii wawili kati ya FROLAH MVUNGI NA HAMIS RAMADHANI H-BABA watakapovishana  pete ya uchumba na utoaji wa mahari hapo hapo. Tafrija hii fupi itaanza saa 10 jioni nakumalizika baada ya masaa mawili baadae. Akiongea na xdeejayz flora alisema leo ni siku yake yafuraha sana anatamani muda ufike hili tukio hili lifanyike kwa aman na kidole chake kiwe na pete ya uchumba. XDEEJAYZ INAWATAKIA SHEREHE NJEMA.

 FROLAH MVUNGI

HAMIS RAMADHANI H-BABA

DALASS(wa wolper) AMPORA BOB JUNIOR GARI

 

Taarifa zilizopo town kwa sasa ni kitendo cha mkurungenzi wa dallas enertainment dallas(roho ya wolper) kumnyang'anya gari aliyokuwa akitembelea bob junior,kwa madai ni ya kwake na alimpa atumie tu!nilimtafuta bob junior na mkasa ulikua hivi "

DALLAS NI KAMA BOSS WANGU LAKINI PIA NI NDUGU YANGU UPANDE WA MAMA NA NDIO UKARIBU WA BIASHARA ZOTE NINAZOFANYA NAE,KUHUSU GARI KWELI ILIKUA MALI YAKE LAKINI ALIKWAMA KUNA KIPINDI WAKATI YUPO EUROPE AKANIAZIMA PESA NA AKANIPA GARI aina ya GX 110,KAMA DHAMANA,NA ALIENDELEA KUCHUKUA PESA MPK IKAFIKA ML KAMA 9 AU 8 NIKAWASILIANA NAE KUHUSU KUNIUZIA GARI ILI NIMALIZIE KILICHOBAKI ILA HAKUA TAYARI KUPOKEA PESA ILA ALINIAMBIA PESA ILIYOBAKI NI MCHANGO WA KUNISAPOTI KUPATA GARI MPYA,SO JUZI NMESHANGAA ANAKUJA ANASEMA NIMMALIZIE PESA YA GARI ANASHIDA SIKUWA TAYARI KUMPA HIYO PESA SO NIKAMWAMBIA ATAFUTE MTU AMUUZIE THEN ANIPE PESA YANGU ACHUKUE PESA YAKE ITAKAYOBAKI BAADA YA KUTOA ML.8 YANGU JUZI NIMEKUTANA NAE AMECHUKUA GARI MPK LEO HAJARUDISHA SO SIELEWI KAMA KALIUZA AU VIPI ILA KADI NIPO NAYO MIMI NA SIWEZI KUITOA MPAKA ANIKABIDHI PESA YANGU"


PICHA CHINI NI STUDIO KWA BOB JUNIOR AKIWA NA KADI YA GARI ALILOTAPELIWA NA DALLAS


BOB junior akinionesha kadi ya gari hiyo!



BOB JUNIOR

WANANCHI WAINGIA KWENYE MAGARI BILA YA KUJUA WANAPOELEKEA KWA KUOGOPA MABOMU YA MACHOZI

TISHIO LA MAANDAMANO LILIVYO ATHIRI USAFIRI KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM "PICHANI" WANANCHI WAKIGOMBEA KUPANDA DALADALA MAENEO YA POSTA JIJINI!
Mitaa ya Uhuru kama unavyoonekana ikiwa haina watu wa kutosha kutokana na wasiwasi wa vurugu za maandamano ya Waislamu.Huku muda mwingi magari ya Jeshi la Polisi yalionekana kuranda randa kwenye viunga vya mitaa hiyo ikiwa ni tahadhari ya kuthibiti uvunjifu wa amani.Ambao ungeweza kutokea
TUMEDHIBITI MAANDAMANO:KAMANDA KOVA
Wengi watiwa mbaroni!
Jeshi la Polisi Kanda Maalum  Dar Es Salaam limesema kuwa limeweza kudhibi maandamano ya Waislamu yaliyokuwa yafanyike Ijumaa ya leo kushinikiza kuachiwa huru kwa wenzao wanaoshikiriwa na Jeshi hilo kwa tuhuma mbalimbali za uvunjifu wa amani.

Akionge na waandishi wa blog hii Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam Bw. Suleiman Kova alisema” Jeshi letu limefanya kazi kubwa na nzuri kwa kuzuia maandamano hayo ambayo yangeweza kuleta uvunjifu wa amani kwa wananchi wasio kuwa na hatia” Alisema Kamanda Kova

Aidha Kamanda Kova aliongeza kusema kuwa watu kadhaa wanashikiriwa na Jeshi hilo kwa kukiuka agizo la Serikali kupitia Jeshi hilo.Hata hivyo timu wanahabari wetu waliokuwa mitaani kwa ajili ya kukusanya matukio walishuhudia katikati ya mji maduka yakiwa yamefungwa na hakuna kilichokuwa kinaendelea.

Mmoja wa wanafabiashara wa mitumba maeneo ya Mtaa wa Kongo alisema kuwa” Jamani tuliamua kusimama baishara zetu kwa kuhofia usalama wetu na mali lakini tunashukuru Mungu amesaidia hivyo hivyo” Alisema kijana huyo aliyejitambulisha kwa jina la Ibarahim.

Thursday, October 18, 2012

MAGDALENA ROY AWA TOP MODEL REDDS MISS TANZANIA 2012

 Mshindi wa Top Model Redd's Miss Tanzania 2012, Magdalena Roy katika shindano lililomalizika kwenye ukumbi wa hoteli ya Naura Springs, Jijini Arusha

 MAGDALENA KATIKA POZI

MISS ILALA ALICHUKUA NAMBA MBILI NA MISS DAR CITY CENTER PIA ALICHUKUA NAMBA MBILI MISS TANZANIA JE?

Wednesday, October 17, 2012

ANTI BILALI KWENYE KITCHEN PARTY NA SINTA

 Hule utamaduni wa sherehe za kitchen party, unaohudhuliwa  na wakina mama peke yake kama unaanza kupotea siku hizi baada ya sherehe hizo kuingiliwa na wanaume ambao wanasemekana ni mashoga kwa kiasi kikubwa sana.mashoga hao ujichanganya na kina mama kama na wao ni wanawake na wengine mpaka kuingia katika vyoo vya kike na wakiwa wanajisaidia haja ndogo  uchuchumaa kama wakina mama.

 Sinta na ant bilali

 Anti  bilali akimtunza mwali

Anti bilali na kipochi chake akiwa na shoga zake

The Secret of Life: Happy and Successful

The secret of life is going to be different for us all, as we all have different goals and ideals we set for ourselves and want to achieve. However, I think that some universal secrets to a happy and successful life are:-
To think outside of yourself so that you are adding to the world rather than just taking away. By finding ways to help others to get what they want we are able to help ourselves without trying.
When we help others we are in the right place and we do not struggle so much. This means we worry less and spend more time thinking positively and less time sulking around wining about what we don’t have, or what we haven’t yet got round to doing.
Lend a helping hand to those people who seek help. People who suffer emotional pain/ problems; you can cheer them up by giving them motivational words. Letting them know that they are not alone and that there is no problem without a solution.
Being there when someone needs you brings joy to your heart. Though you can’t necessarily help that person directly, the essence that you’re there willing to listen and comfort her/him is really a big help to them. Helping someone by heart brings true joy, and that person will never forget you, and will always be there when the time comes that you’re the one who needs help. So it’s good helping other people without asking in return.
As they say, ‘life is what you make it’. Plus it’s pretty short so make the best of it. You’re not here very long at all! If you live your life in misery then the secret of  life sucks, but if you try to spend every waking moment enjoying life, then you realize that life is a privilege, so take advantage.
Therefore by helping others we are automatically helping ourselves. So I spend a fair bit of my time just looking for ways to help those around me. Then as if by magic more good things happen to me. And what’s more they often come to me from completely un-associated areas.
Share and Enjoy:
  • Ping.fm
  • Yahoo! Buzz
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • Blogplay
Tags: , ,
This entry was posted on Saturday, April 17th, 2010 at 2:06 pm and is filed under DNA The Secret Of Life, Is The Secret Of Life, Secret Lives Of Famous People, Secrets Of Life, The Secret Of Life
























No comments:

Post a Comment