Friday, October 19, 2012
FROLAH MVUNGI ATOLEWA MAHARI NA KUVISHWA PETE NA H - BABA LEO
FROLAH MVUNGI
HAMIS RAMADHANI H-BABA
DALASS(wa wolper) AMPORA BOB JUNIOR GARI
Taarifa zilizopo town kwa sasa ni kitendo cha
mkurungenzi wa dallas enertainment dallas(roho ya wolper) kumnyang'anya gari
aliyokuwa akitembelea bob junior,kwa madai ni ya kwake na alimpa atumie
tu!nilimtafuta bob junior na mkasa ulikua hivi "
DALLAS NI KAMA BOSS WANGU LAKINI PIA NI NDUGU YANGU UPANDE WA MAMA NA NDIO UKARIBU WA BIASHARA ZOTE NINAZOFANYA NAE,KUHUSU GARI KWELI ILIKUA MALI YAKE LAKINI ALIKWAMA KUNA KIPINDI WAKATI YUPO EUROPE AKANIAZIMA PESA NA AKANIPA GARI aina ya GX 110,KAMA DHAMANA,NA ALIENDELEA KUCHUKUA PESA MPK IKAFIKA ML KAMA 9 AU 8 NIKAWASILIANA NAE KUHUSU KUNIUZIA GARI ILI NIMALIZIE KILICHOBAKI ILA HAKUA TAYARI KUPOKEA PESA ILA ALINIAMBIA PESA ILIYOBAKI NI MCHANGO WA KUNISAPOTI KUPATA GARI MPYA,SO JUZI NMESHANGAA ANAKUJA ANASEMA NIMMALIZIE PESA YA GARI ANASHIDA SIKUWA TAYARI KUMPA HIYO PESA SO NIKAMWAMBIA ATAFUTE MTU AMUUZIE THEN ANIPE PESA YANGU ACHUKUE PESA YAKE ITAKAYOBAKI BAADA YA KUTOA ML.8 YANGU JUZI NIMEKUTANA NAE AMECHUKUA GARI MPK LEO HAJARUDISHA SO SIELEWI KAMA KALIUZA AU VIPI ILA KADI NIPO NAYO MIMI NA SIWEZI KUITOA MPAKA ANIKABIDHI PESA YANGU"
PICHA CHINI NI STUDIO KWA BOB JUNIOR AKIWA NA KADI YA GARI ALILOTAPELIWA NA DALLAS
BOB JUNIOR
WANANCHI WAINGIA KWENYE MAGARI BILA YA KUJUA WANAPOELEKEA KWA KUOGOPA MABOMU YA MACHOZI
TISHIO LA MAANDAMANO LILIVYO ATHIRI USAFIRI KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES
SALAAM "PICHANI" WANANCHI WAKIGOMBEA KUPANDA DALADALA MAENEO YA POSTA
JIJINI!
Mitaa ya Uhuru kama unavyoonekana ikiwa
haina watu wa kutosha kutokana na wasiwasi wa vurugu za maandamano ya
Waislamu.Huku muda mwingi magari ya Jeshi la Polisi yalionekana kuranda
randa kwenye viunga vya mitaa hiyo ikiwa ni tahadhari ya kuthibiti
uvunjifu wa amani.Ambao ungeweza kutokea
TUMEDHIBITI MAANDAMANO:KAMANDA KOVA
Wengi watiwa mbaroni!
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar Es Salaam limesema kuwa limeweza kudhibi
maandamano ya Waislamu yaliyokuwa yafanyike Ijumaa ya leo kushinikiza kuachiwa
huru kwa wenzao wanaoshikiriwa na Jeshi hilo kwa tuhuma mbalimbali za uvunjifu
wa amani.
Akionge na waandishi wa blog hii Kamanda wa Polisi Kanda ya
Dar es Salaam Bw. Suleiman Kova alisema” Jeshi letu limefanya kazi kubwa na nzuri
kwa kuzuia maandamano hayo ambayo yangeweza kuleta uvunjifu wa amani kwa
wananchi wasio kuwa na hatia” Alisema Kamanda Kova
Aidha Kamanda Kova aliongeza kusema kuwa watu kadhaa
wanashikiriwa na Jeshi hilo kwa kukiuka agizo la Serikali kupitia Jeshi hilo.Hata
hivyo timu wanahabari wetu waliokuwa mitaani kwa ajili ya kukusanya matukio
walishuhudia katikati ya mji maduka yakiwa yamefungwa na hakuna kilichokuwa
kinaendelea.
Mmoja wa wanafabiashara wa mitumba maeneo ya Mtaa wa Kongo
alisema kuwa” Jamani tuliamua kusimama baishara zetu kwa kuhofia usalama wetu
na mali lakini tunashukuru Mungu amesaidia hivyo hivyo” Alisema kijana huyo
aliyejitambulisha kwa jina la Ibarahim.
Thursday, October 18, 2012
MAGDALENA ROY AWA TOP MODEL REDDS MISS TANZANIA 2012
Mshindi wa Top Model Redd's Miss Tanzania 2012, Magdalena Roy katika shindano
lililomalizika kwenye ukumbi wa hoteli ya Naura Springs, Jijini Arusha
MAGDALENA KATIKA POZI
MISS ILALA ALICHUKUA NAMBA MBILI NA MISS DAR CITY CENTER PIA ALICHUKUA NAMBA MBILI MISS TANZANIA JE?
Wednesday, October 17, 2012
ANTI BILALI KWENYE KITCHEN PARTY NA SINTA
Hule utamaduni wa sherehe za kitchen party, unaohudhuliwa na wakina mama peke yake kama unaanza kupotea siku hizi baada ya sherehe hizo kuingiliwa na wanaume ambao wanasemekana ni mashoga kwa kiasi kikubwa sana.mashoga hao ujichanganya na kina mama kama na wao ni wanawake na wengine mpaka kuingia katika vyoo vya kike na wakiwa wanajisaidia haja ndogo uchuchumaa kama wakina mama.
Sinta na ant bilali
Anti bilali akimtunza mwali
Anti bilali na kipochi chake akiwa na shoga zake
Subscribe to:
Posts (Atom)
78398
The Secret of Life: Happy and Successful
The secret of life is going to be different for us all, as we all have different goals and ideals we set for ourselves and want to achieve. However, I think that some universal secrets to a happy and successful life are:-To think outside of yourself so that you are adding to the world rather than just taking away. By finding ways to help others to get what they want we are able to help ourselves without trying.
When we help others we are in the right place and we do not struggle so much. This means we worry less and spend more time thinking positively and less time sulking around wining about what we don’t have, or what we haven’t yet got round to doing.
Lend a helping hand to those people who seek help. People who suffer emotional pain/ problems; you can cheer them up by giving them motivational words. Letting them know that they are not alone and that there is no problem without a solution.
Being there when someone needs you brings joy to your heart. Though you can’t necessarily help that person directly, the essence that you’re there willing to listen and comfort her/him is really a big help to them. Helping someone by heart brings true joy, and that person will never forget you, and will always be there when the time comes that you’re the one who needs help. So it’s good helping other people without asking in return.
As they say, ‘life is what you make it’. Plus it’s pretty short so make the best of it. You’re not here very long at all! If you live your life in misery then the secret of life sucks, but if you try to spend every waking moment enjoying life, then you realize that life is a privilege, so take advantage.
Therefore by helping others we are automatically helping ourselves. So I spend a fair bit of my time just looking for ways to help those around me. Then as if by magic more good things happen to me. And what’s more they often come to me from completely un-associated areas.
Tags: dna secret of life, secret life of a teenage, the secret life of american
This entry was posted on Saturday, April 17th, 2010 at 2:06 pm and is filed under DNA The Secret Of Life, Is The Secret Of Life, Secret Lives Of Famous People, Secrets Of Life, The Secret Of Life
No comments:
Post a Comment